Msaada Kuhusu Hati ya Kusafiria ya Mtoto

Msaada Kuhusu Hati ya Kusafiria ya Mtoto

Dahlia

Member
Joined
Mar 15, 2013
Posts
86
Reaction score
48
Heshima yenu wakuu wa Jf
Ninaomba msaada wa kufahamishwa. Je iwapo unataka kusafiri nje ya nchi na mtoto wako wa umri wa kati ya miaka miwili na kumi na mbili, utahitaji doumenti zipi ili aweze kuruhusiwa kusafiri? Je umri huu wanatakiwa kuwa na passport? Kama sivyo, je ni vielelezo vip utahitaji badala ya passport? Safari yenyewe ni kwenda SA. Ushauri tafadhali.
 
siku hizi mtoto hata akiwa na siku moja maadam unataka kusafiri nae nje ya nchi anatakiwa awe na passport yake.hivyo basi utaratibu utakaopitia ni ule ule wa jinsi ulivopata yako,vitu vichache labda mtatofautiana mfano kuweka sahihi,etc.

all the best.
 
Back
Top Bottom