Msaada kuhusu Diploma ya Ualimu

Msaada kuhusu Diploma ya Ualimu

Joined
Jul 19, 2016
Posts
8
Reaction score
0
Diploma Zote zimeandikwa. Ordinary diploma in primary education in service na nyengine imeandikwa kama ivo but mwishoni ni pre service swali ipi ni ya shule ya sekondari wanajamii for
 
1.Ordinary Diploma in Primary Education unasomea ualimu wa shule za msingi.
2.Higher Diploma in Secondary Education unasomea ualimu wa shule za sekondari.
Ukikosea inakula kwako.
 
1.Ordinary Diploma in Primary Education unasomea ualimu wa shule za msingi.
2.Higher Diploma in Secondary Education unasomea ualimu wa shule za sekondari.
Ukikosea inakula kwako.
Hiyo higher haipo siku hizi,wahitimu wa mwisho kwenye vyuo vya serikali ni wale waliomaliza may mwaka jana.sasa vyuo vyote sasa vinadahili hizo za primary
 
Hiyo higher haipo siku hizi,wahitimu wa mwisho kwenye vyuo vya serikali ni wale waliomaliza may mwaka jana.sasa vyuo vyote sasa vinadahili hizo za primary
chanzo cha habari mkuu / uthibitisho zisje zkawa story za vijiwen
 
1.Ordinary Diploma in Primary Education unasomea ualimu wa shule za msingi.
2.Higher Diploma in Secondary Education unasomea ualimu wa shule za sekondari.
Ukikosea inakula kwako.
Kumbe,vp NACTE wameonesha vyuo pia?
 
Nimeingia katika vyuo vingi vinavyotoa corse izo na zote zimeandika ivo
 
Hiyo higher haipo siku hizi,wahitimu wa mwisho kwenye vyuo vya serikali ni wale waliomaliza may mwaka jana.sasa vyuo vyote sasa vinadahili hizo za primary
Ahsante sana ndugu. Pia vp kuhusu nacte mbona CAS inasmbua sana ktk kutuma maombi
 
Mimi ninacho fahamu ukisema In service ni wale walioko kazini tayari, pre service ni fresh from school. WOTE wanasoma sta shahada ya ualimu wa SHULE za msingi
 
Back
Top Bottom