April26
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 1,405
- 2,162
Habari za leo wakuu.
Naomba kuuliza swali kuhusu wasifu wa muombaji kazi (CV).
Mfn: una uzoefu wa miaka mitano (five years work experiences) halafu CV yako ina page almost 4 tu na hapo umejaribu kupunguza (minimize) kulingana na idadi ya majukumu uliyokuwa unafanya, halafu unaona tangazo linataka CV iwe na page 2 tu.
Swali, utazingatia nini kuhakikisha ile experiences ya miaka 4 ionekane kwa asilimia kubwa kwenye hizo page 2?
Ikumbukwe, CV inaeleweka inatakiwa iwe na vitu gani vya muhimu, kama taarifa binafsi, elimu labda O-level, A-level, Diploma, Degree, Masters etc, then labda Training course mfn, Computer literacy na nyinginezo.
Ni lazima kuonyesha uzoefu ulikopita hadi ulipo ikiwa unafanya kazi au lah! Mfn, umefanya taasisi 4 tofauti ndani ya miaka minne, kama vile part time, internship, contract etc, kuna kazi zina mikataba ya mwaka 1 mnamalizana.
Kama nilivosema majukumu kila taasisi haliwezi kuwa moja lazima uonyeshe umefanya nini lini hadi lini, hii hufanya CV kuwa ndefu.
Kama nilivyouliza, swali, utazingatia nini kuhakikisha ile experiences ya miaka 4 ionekane kwa asilimia kubwa kwenye hizo page 2 bila kuathiri chochote?
NB: Kuna baadhi ya mataifa wana mtindo almost unao fanana wa CV japo unaweza kuwa una utofauti kati ya mtu na mtu.Je Tanzania/Africa mashariki tuna format ya CV inayotambulika kama ilivyo Ulaya na Marekani?
Ahsanteni
Naomba kuuliza swali kuhusu wasifu wa muombaji kazi (CV).
Mfn: una uzoefu wa miaka mitano (five years work experiences) halafu CV yako ina page almost 4 tu na hapo umejaribu kupunguza (minimize) kulingana na idadi ya majukumu uliyokuwa unafanya, halafu unaona tangazo linataka CV iwe na page 2 tu.
Swali, utazingatia nini kuhakikisha ile experiences ya miaka 4 ionekane kwa asilimia kubwa kwenye hizo page 2?
Ikumbukwe, CV inaeleweka inatakiwa iwe na vitu gani vya muhimu, kama taarifa binafsi, elimu labda O-level, A-level, Diploma, Degree, Masters etc, then labda Training course mfn, Computer literacy na nyinginezo.
Ni lazima kuonyesha uzoefu ulikopita hadi ulipo ikiwa unafanya kazi au lah! Mfn, umefanya taasisi 4 tofauti ndani ya miaka minne, kama vile part time, internship, contract etc, kuna kazi zina mikataba ya mwaka 1 mnamalizana.
Kama nilivosema majukumu kila taasisi haliwezi kuwa moja lazima uonyeshe umefanya nini lini hadi lini, hii hufanya CV kuwa ndefu.
Kama nilivyouliza, swali, utazingatia nini kuhakikisha ile experiences ya miaka 4 ionekane kwa asilimia kubwa kwenye hizo page 2 bila kuathiri chochote?
NB: Kuna baadhi ya mataifa wana mtindo almost unao fanana wa CV japo unaweza kuwa una utofauti kati ya mtu na mtu.Je Tanzania/Africa mashariki tuna format ya CV inayotambulika kama ilivyo Ulaya na Marekani?
Ahsanteni