Msaada kuhusu course zilizopo SAUT

baby nillaah

Senior Member
Joined
Apr 7, 2017
Posts
110
Reaction score
64
Habari wanajamvi Mimi nahitaji kujiunga na chuo cha SAUT Mwanza ngazi ya Diploma.

Swali langu je? Ni kozi ipi nzuri kwa Sasa katika soko la ajira maana cheti nilisoma community development HOMBOLO Dodoma, nahofia kuendelea nayo sababu ajira zake Sina hakika Kama zinapatikana kwa urahisi. Mnisaidie coz ipi nzuri au niendelee na hii tu
 
Kwann usome SAUT Wakati hata huko Hombolo Diploma zipo!?
 
Follow your Heart...
 
Ulishapata?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…