yongpal
Member
- Oct 17, 2017
- 38
- 14
Habarini za jioni wapendwa ,, tumaini langu wazima Wa afya ,, kama kichwa kinavyosema hapo juu nilikuwa naomba msaada juu ya vyuo vya mifungo na sifa ya kujiunga na hivyo vyuo matokeo Haya hapa ya ndugu yangu chemistry C biology C geography C English C jumla ana point 24 necta yake maana hautaki kusoma ualimu na kama kuna kozi nyingne nzur ambayo inaweza kumsaidia nisaidien nimwambie asante.