miriam 11 Member Jan 19, 2017 29 17 Jun 19, 2017 #1 Heshima yenu wakuu... Polen na kazi pia samahani kwa usumbufu huu Kwa anaejua taratibu za kupata cheti cha kuzaliwa kwa mtu mzima tafadhali naomba kuelekezwa Asanten
Heshima yenu wakuu... Polen na kazi pia samahani kwa usumbufu huu Kwa anaejua taratibu za kupata cheti cha kuzaliwa kwa mtu mzima tafadhali naomba kuelekezwa Asanten
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,985 69,372 Jun 19, 2017 #2 Wasiliana na RITA kwa msaada zaidi
S Statistics JF-Expert Member Sep 22, 2013 3,167 6,514 Jun 19, 2017 #3 nenda ofisi ya mkuu wa wilaya, kuna kitengo cha usajiri wa vifo, vizazi na ndoa. omba form ya cheti cha kuzaliwa. utapewa, kama hazipo katafute kwenye baadhi ya steshenari huwa wanaweka huko uliko. ukipata hiyo form ijaze, bandika picha na kailipie sh 10,000 na utapatiwa risti. malipo yanaweza kufanyika ofisi za DC au ukapewa akaunti ya benki ukalipe kule. ukiwasirisha form yako, jitahidi "umsogeze" PS ili aichape faster! ova
nenda ofisi ya mkuu wa wilaya, kuna kitengo cha usajiri wa vifo, vizazi na ndoa. omba form ya cheti cha kuzaliwa. utapewa, kama hazipo katafute kwenye baadhi ya steshenari huwa wanaweka huko uliko. ukipata hiyo form ijaze, bandika picha na kailipie sh 10,000 na utapatiwa risti. malipo yanaweza kufanyika ofisi za DC au ukapewa akaunti ya benki ukalipe kule. ukiwasirisha form yako, jitahidi "umsogeze" PS ili aichape faster! ova
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,985 69,372 Jun 19, 2017 #4 RITA : Registration Insolvency and Trusteeship Agency
mzee wa liver JF-Expert Member Dec 14, 2014 81,403 422,609 Jun 19, 2017 #5 Joseverest said: Wasiliana na RITA kwa msaada zaidi Click to expand... Jibu sahihi kwa wakati sahihi