naposa kikristo na mtoto mwenyewe ni wa kingoni ameniambia kuwa kwao kabla ya kwenda kujitambulisha inabidi itangulie barua ya posa kwanza.[/QUOTE
Kama wa kingoni simpo,
Kwanza unaanza na blah blah! Unazuga kuwa umekutana na ndege mzuri, lakini asiwe kunguru, prefarrably njiwa au Khanga, wao wanaita Lichundu, then unamalizia kuwa unaomba wakukubalie umfuge huyo ndege.
Tafadhal mshenga inabidi awe msanii flan hivi!
Ukivaa tishet na jinsi siku ya kujitokeza imekula kwako!!!!!
Kaz ni kwako kaka!