MSAADA KUHUSU BACHELOR OF SCIENCE IN PHYSICS

MSAADA KUHUSU BACHELOR OF SCIENCE IN PHYSICS

ACTIVIST13

Member
Joined
May 26, 2018
Posts
13
Reaction score
16
Habari?
Naomba anaeifahamu kozi hii vizuri anieleweshe juu ya soko lake, usomaji wake na pia je namna gani inaweza kuwa msaada kama mtu alieisomea akikosa ajira ni hayo tu kwa uchache
 
Nenda kasome na komaa upate GPA nzuri afu kaongezee na Master's yake utarudi kuleta mrejesho we mwenyewe
 
Soma tu education, achana na hii kitu, wanaliosoma wanasotea ualimu tena tution center, wanataman tu wangesoma ualimu kikaeleweka


Kimbia kabisa hio kitu, wengi wanaingiaga kichwa wakijua ni ualimu wakifika chuo hawaamin wanachokutana nacho
 
Soma tu education, achana na hii kitu, wanaliosoma wanasotea ualimu tena tution center, wanataman tu wangesoma ualimu kikaeleweka
Kimbia kabisa hio kitu, wengi wanaingiaga kichwa wakijua ni ualimu wakifika chuo hawaamin wanachokutana nacho
samahan mkuu hii kitu ukisomea unaeza ajiliwa kazi gani labda kama sio ualimu?
 
Hiyo kitu kwa Tanzania ni ualimu tu
Mbona unabahatisha mkuu,
Ulishaona field zao kama wanaenda shulen,??

Mara nying field zao n viwandan, sasa ualimu wanajulia wapi, scheme of work wanaweza kuandaa, je wanajua hata lesson plan, au ualimu unachukulia vip??
Kuna wakaguzi wanapita mashulen usifikili n kaz za kufakamia kiivo

Koz yeyote ya ualimu ina neno education mfn ,bachelor of science with education n. K

Sasa endeleeni kupeana pumba kuwa kwa Tanzania hio koz ni ualimu
 
Mbona unabahatisha mkuu,
Ulishaona field zao kama wanaenda shulen,??
Mara nying field zao n viwandan, sasa ualimu wanajulia wapi, scheme of work wanaweza kuandaa, je wanajua hata lesson plan, au ualimu unachukulia vip??
Kuna wakaguzi wanapita mashulen usifikili n kaz za kufakamia kiivo

Koz yeyote ya ualimu ina neno education mfn ,bachelor of science with education n. K
Sasa endeleeni kupeana pumba kuwa kwa Tanzania hio koz ni ualimu
je hawajawahi fundisha mashuleni?
 
Back
Top Bottom