illegal migrant
JF-Expert Member
- Oct 18, 2013
- 1,277
- 1,121
katika miaka yote niliyoishi hapa chini ya jua sijawahi kubahatika kumuona askari/mwanajeshi wa kike (ndani ya sare) akiwa na tumbo la ujauzito hivi hi imekaaje kaaje ni kwamba wakipata ujauzito wanapewa likizo au huwa hawapati ujauzito kabisa?