Msaada kuhusu Arthritis

Msaada kuhusu Arthritis

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
14,163
Reaction score
11,822
Je ni kweli huu ugonjwa hauna tiba?

Nakama unao naomba kujua tiba zake.

Wataalamu wa dawa za kienyeji pia jitokezeni tafazalini
 
Dawa zipo za kupoza maumivu kama vile kundi la NSAIDS linafaa sana kwa kupoza maumivu.
Kuondoa tatizo kabisa kabisa, tunaanzaga na chanzo cha tatizo. Ambayo yamo kwa mfano
Cushing syndrome
Diabetes mellitus
Acromegaly na zingine nyingi ambazo hiziukizitibu zikaishia na arthritis nayo pia huisha na mgonjwa na anapona. Ikishindikana na kuondoa mzizi wa tatizo ambayo ni magonjwa yanayoathiri sehemu nyingi mwilini(Systemic diseases) mgonjwa analazikika kuwa mtumiaji wa dawa za maumivu maisha yake. Hivyo ni muhimu kufika hospitali kwa uchunguzi zaidi ili kuondoa chanzo cha tatizo


Happy dude
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom