Ila kuna baadhi ya vitu wabongo tunalalamika kama vile hatuna akili au tumekatwa vichwa, unaona nafasi inamuhitaji diploma ety ww wa degree unataka hy nafasi ukiulizwa kisa nn ety degree Ni kubwa kuzidi diploma.
Wabongo acheni ujinga na hizo ni tabia za kichawi, mmebamizwa na videgree zenu mtaani huko mnakuja kuwa wachawi kwa riziki za wengine.