Msaada Kuflash memory card

God'sBeliever

JF-Expert Member
Sep 1, 2015
5,790
3,019
Habari zenu wakuu.
Nina memory ta tecno 4GB nimeitumia kwa miaka miwili.
Leo imenigomea baada ya kuituma kwenye subwoofer kwa siku kadhaa.
Iliku hai play nyimbo vizur ndio nilipoitia na kuiflash.

Wakat iki process ikaniambia There is no media in the device ila sasa, inasoma 0B.

Nimetumia windows na Ubuntu bila mafanikio kwote inasema no media in the device.

Nime google mara kadhaa bila mafanikio. Kuna software inarekebisha disk error ya san disk ila hii haifai sababu hii ni tecno.

Plz naombeni ushauri wenu wataalau.

Cc Chief-Mkwawa
 
Kuna program hiyo ndio inaweza rudisha vitu vyako kwa kupitia computer ila ombea isome kwenye computer
 
memory card ya 4GB unaifungulia uzi mkuu?
ina data gani wakati umesema ulikuwa unapigia muziki?
acha kuwa mvivu wa kufikiria,kanunue nyingine..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom