Dah...chukua sabuni ya unga......changanya na maji ya baridi ( 5DegC) ndani ya glass...acha ya tulie...kisha yachuje....halafu yamwage taratibu juu ya screen yako... povu linapotoka kwa wingi ndiyo pattern yako...🙂🙂🙂Wakuu mdada katengeneza partens lakini kasahau msaada jinsi ya kutoa ili aendelee kuitumia.
duuh ni rahisi kutoa hiyo partens tatizo cyber crime acts, sio yako ni ya mdadaWakuu mdada katengeneza partens lakini kasahau msaada jinsi ya kutoa ili aendelee kuitumia.
Zima then bonyeza knob ya kuwasha na kuongeza sauti at the same time, utakuwa ume reset kila kitu, namaanisha kila kituTecno W4 mkuu
Mkuu nimefanya inaleta maelezo mengiii,yaniZima then bonyeza knob ya kuwasha na kuongeza sauti at the same time, utakuwa ume reset kila kitu, namaanisha kila kitu
Saidia tu Mkuu,kasau aisee
Mkuu nimefanya inaleta maelezo mengiii,yani
Reboot
Apply update from ADB
Apply update from SD card
etc.
Ss nifanye nn kifuatacho?
Ukishamaliza kuwipe data utakutana na kitu cha FRP. Muulize kama kaweka back up pin? Km kaweka asiwipe data. A draw mara kadhaa itamuomba back up pin aweke hiyo.Wakuu mdada katengeneza partens lakini kasahau msaada jinsi ya kutoa ili aendelee kuitumia.
Naongezea hapo.Bonyeza reboot, hakikisha simu imejaa chaji, then fuata maelekezo ikiwa ni pamoja na kuweka gmail account
Pamoja kamandaaaa, unajua nilikuwa natumia simu so nikawa siwezi kuandika sanaNaongezea hapo.
A connect wifi itamletea Maelezo ya kujaza email (ajaze email aliyotumia kusign kwenye google store)
Ikishindikana hapo ni kubypass frp
Simu gani?Asanteni sn kwa msaada na maelekezo.
Lakini kilichotokea wakati nafuata hizi hatua,hakika Leo nimeponea chupuchupu kuumia sn au kupoteza uhai.Simu ililipuka yote kwa upande wa nyuma.
Bila kuitupa na kukimbia ingeniumiza.
Sijui kwanini?
Simu gani? Hiyo hivyo w4? Pole sanaAsanteni sn kwa msaada na maelekezo.
Lakini kilichotokea wakati nafuata hizi hatua,hakika Leo nimeponea chupuchupu kuumia sn au kupoteza uhai.Simu ililipuka yote kwa upande wa nyuma.
Bila kuitupa na kukimbia ingeniumiza.mmmh
Sijui kwanini?
duuuuAsanteni sn kwa msaada na maelekezo.
Lakini kilichotokea wakati nafuata hizi hatua,hakika Leo nimeponea chupuchupu kuumia sn au kupoteza uhai.Simu ililipuka yote kwa upande wa nyuma.
Bila kuitupa na kukimbia ingeniumiza.
Sijui kwanini?