Msaada,kozi zisizo

Msaada,kozi zisizo

tamuuuuu

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
22,189
Reaction score
29,748
Jamani msaada mdogo wangu kachaguliwa et food science UDSM na udaktar wa mifugo SUA.Sijui alijaza vip huyu mtoto.

Sasa afanyeje?ingawa UDOM bado hajapata corfimation ya selection.

Ana 1.8 PCB anataka soma Medicine, Pharmacy na Nursing.

Msaada nini kifanyike haraka haraka.
 
Duh anataka kusoma phamarcy,medicine na nursing halafu yeye akajaza food science na veterinary med..

Au mkuu wewe ndo unataka hizo kozi lakini yeye ndoto zake ni kozi alizojaza na kuchaguliwa??
 
Ilikuwaje akajaza kombi ambazo azitaki wakati anaufauli mzur wa masomo ya afya. Hapo asubirie tu huko udom akipata aende
 
Ilikuwaje akajaza kombi ambazo azitaki wakati anaufauli mzur wa masomo ya afya. Hapo asubirie tu huko udom akipata aende
Hawa watoto balaa.Ushauri afanyeje.Kwani Anaweza omba tena?
 
Mkuu nilishazeeka mie.Nilisoma ikapita
Duh anataka kusoma phamarcy,medicine na nursing halafu yeye akajaza food science na veterinary med..

Au mkuu wewe ndo unataka hizo kozi lakini yeye ndoto zake ni kozi alizojaza na kuchaguliwa??
 
arudie application second round,,, aaply medicine udsm na udom af asiache st john pharmacy!
 
Back
Top Bottom