Msaada: Kilimo cha miti ya mbao

mussavin1

Member
Joined
May 13, 2017
Posts
12
Reaction score
1
Mimi ni kijana wa miaka24 maisha yangu napenda sana kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji, nimefanikiwa kupata ardhi inayoniwezesha kufanya kilimo na mimi nimefikiria kupanda miti ya mbao na miembe ya kisasa ila sina ufahamu wowote kuhusu kilimo hicho, naombeni mnisaidie elimu ili nipate ufahamu katika shughuli ya hiyo ya kilimo.

Asanteni sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…