Msaada: KAZI ya tent crew

Msaada: KAZI ya tent crew

hero de mmar

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2013
Posts
470
Reaction score
108
Habari wadau, samahani kwa anayejua au mwenye uzoefu wa kazi za camping kwenye mbuga anijuze
-vigezo vya kuomba kazi.
-elimu.
-salary.
-na mengineyo muhimu.

Asante
Nipo Arusha
 
Nataka nitafute kazi za aina hiyo sasa sifahamu vigezo vinavyotakiwa

Mbona umechelewa hivyo......?.......ulitakiwa uanze huu mchakato mwezi wa 4........season itakata soon shauri ya uchaguzi........
ila jaribu...........
 
Mbona umechelewa hivyo......?.......ulitakiwa uanze huu mchakato mwezi wa 4........season itakata soon shauri ya uchaguzi........
ila jaribu...........

Thanx. Vigezo je?
 
Inategemea......kuna mpishi......room attendant.......waiter (waitress ni nadra labda iwe luxury).......etc......wewe umesoma nini......?.........

Mi nililenga rooms attendant.
Je, ni lazima nisomee au ujuzi/uzoefu naupatia hukohuko???
 
Mi nililenga rooms attendant.
Je, ni lazima nisomee au ujuzi/uzoefu naupatia hukohuko???

Lazima uwe trained.......na kila mtu ana standards zake.......hizo unafunzwa..........ila ni vizuri ungebrush na ka kozi ka hotel management.........
 
Lazima uwe trained.......na kila mtu ana standards zake.......hizo unafunzwa..........ila ni vizuri ungebrush na ka kozi ka hotel management.........

Mi elimu yangu form 4, lugha inapanda vizuri. Je, kuna ulazima wa kujibrush au naweza nika apply tu? #@preta
 
Mi elimu yangu form 4, lugha inapanda vizuri. Je, kuna ulazima wa kujibrush au naweza nika apply tu? #@preta

Mkuu......utalii una competition sana.......lakini sikukatishi tamaa.....wewe jaribu kuapply.....kampuni za utalii Arusha zipo nyingi sana.......jaribu kutafuta zile zenye campsites unaweza bahatika.........
Kuanzia anza na hizi.....
1.kibo guides
2. A&K
3.Thomson
4.Zara
5.Leopard tours
6.Ranger safaris
7.Nomad........etc..

Kila la kheri......
 
Mkuu......utalii una competition sana.......lakini sikukatishi tamaa.....wewe jaribu kuapply.....kampuni za utalii Arusha zipo nyingi sana.......jaribu kutafuta zile zenye campsites unaweza bahatika.........
Kuanzia anza na hizi.....
1.kibo guides
2. A&K
3.Thomson
4.Zara
5.Leopard tours
6.Ranger safaris
7.Nomad........etc..

Kila la kheri......

Thanx mkuu
 
Back
Top Bottom