Msaada katika hili waungwana

wazabangah1

JF-Expert Member
Jul 16, 2014
315
114
Nimuhitimu Wa shahada ya sayansi uhifadhi wa viumbe (wildlife management) SUA Niko mtaani sasa kwa muda Wa miaka miwili, ila nilikua najishikiza na miradi ya wazungu lakni kwa jinsi muendeleo ulivyo security inazidi kua ndogo na umri nao unasonga

Hivyo basi kunapesa nilikusanya kipind napiga hizo kazi, nikaka chini na kuona ni bora nirudi shule ila kwa kuhama fani kwa vile GPA(2.9) yangu haikua nzur sana, nimeona nikasome POSTGRADUATE DIPLOMA YA education katika sayansi subject, ila nilikua Naomba kujua baadhi ya Vyuo vinavyotoa hio Kozi na Angalau Ada zake Nizakuridhisha Na Hazitaniumiza katika kipind Cha masomo

Nashukuru, Naomba Kuwasilishaa.
 
Nimuhitimu Wa shahada ya sayansi uhifadhi wa viumbe (wildlife management) SUA Niko mtaani sasa kwa muda Wa miaka miwili, ila nilikua najishikiza na miradi ya wazungu lakni kwa jinsi muendeleo ulivyo security inazidi kua ndogo na umri nao unasonga

Hivyo basi kunapesa nilikusanya kipind napiga hizo kazi, nikaka chini na kuona ni bora nirudi shule ila kwa kuhama fani kwa vile GPA(2.9) yangu haikua nzur sana, nimeona nikasome POSTGRADUATE DIPLOMA YA education katika sayansi subject, ila nilikua Naomba kujua baadhi ya Vyuo vinavyotoa hio Kozi na Angalau Ada zake Nizakuridhisha Na Hazitaniumiza katika kipind Cha masomo

Nashukuru, Naomba Kuwasilishaa.

Pole sana mkuu na hongera kwa kutokata tamaa. Kama unaweza na una self discipline katika shule jiunge na OUT ada ni cheap around 2.5m kwa distance learning mode
 
+GeeM hio 2.5mill ni kila kitu hapoo hakunaa mambo mengine? Tenaa yakujitokezaa
 
GeeM hio 2.5mill ni kila kitu hapoo hakunaa mambo mengine? Tenaa yakujitokezaa
 
Last edited by a moderator:
Nimuhitimu Wa shahada ya sayansi uhifadhi wa viumbe (wildlife management) SUA Niko mtaani sasa kwa muda Wa miaka miwili, ila nilikua najishikiza na miradi ya wazungu lakni kwa jinsi muendeleo ulivyo security inazidi kua ndogo na umri nao unasonga

Hivyo basi kunapesa nilikusanya kipind napiga hizo kazi, nikaka chini na kuona ni bora nirudi shule ila kwa kuhama fani kwa vile GPA(2.9) yangu haikua nzur sana, nimeona nikasome POSTGRADUATE DIPLOMA YA education katika sayansi subject, ila nilikua Naomba kujua baadhi ya Vyuo vinavyotoa hio Kozi na Angalau Ada zake Nizakuridhisha Na Hazitaniumiza katika kipind Cha masomo

Nashukuru, Naomba Kuwasilishaa.

Nenda TANAPA wametangaza kazi ya hiyo kozi yako
 
Nimesha Apply Kaka ila hiki kitu baadoo nideni ninalo lazima likamilikee, napalee tushatuma maombi zaidi ya lilee yaani liko wazi mpk unahisi kabisa hii ata kwenye interview nitakuepoo ila unashangaa Hamna interview na kazin watu washaingia hatarii Sana so tushaingia Ganzii na Kazi Zao Billie
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ukikomaa utapata kazi kwa elimu yako.umeonyesha Ni jinsi gani una malengo mazuri na maisha yako.Mungu akutangulie mkuu
 
Kwanza kabla ya shule.fungua website ya Tanapa wamemwaga ajira za kutosha.kama unapenda waweza ku apply
 
Kuna mtu aliniambia kuna kazi zimetoka tanapa,nikifika ofisin nikapata uhakika nitakupm mkuu kukupa maelekezo.maisha nikusaidiana maisha Ni safari
 
GeeM hio 2.5mill ni kila kitu hapoo hakunaa mambo mengine? Tenaa yakujitokezaa

Nilidokezwa kuwa ni kila kitu,(kwa distance learning only) pia jaribu kucheki prospectus yao mtandaoni www.out.ac.tz. Au watembelee kwenye centers zao kwa uhakika zaidi
 
Last edited by a moderator:
Nimuhitimu Wa shahada ya sayansi uhifadhi wa viumbe (wildlife management) SUA Niko mtaani sasa kwa muda Wa miaka miwili, ila nilikua najishikiza na miradi ya wazungu lakni kwa jinsi muendeleo ulivyo security inazidi kua ndogo na umri nao unasonga

Hivyo basi kunapesa nilikusanya kipind napiga hizo kazi, nikaka chini na kuona ni bora nirudi shule ila kwa kuhama fani kwa vile GPA(2.9) yangu haikua nzur sana, nimeona nikasome POSTGRADUATE DIPLOMA YA education katika sayansi subject, ila nilikua Naomba kujua baadhi ya Vyuo vinavyotoa hio Kozi na Angalau Ada zake Nizakuridhisha Na Hazitaniumiza katika kipind Cha masomo

Nashukuru, Naomba Kuwasilishaa.

Mkuu hope umemsoma Billie, fanya hivo huwezi jua,
 
Nimuhitimu Wa shahada ya sayansi uhifadhi wa viumbe (wildlife management) SUA Niko mtaani sasa kwa muda Wa miaka miwili, ila nilikua najishikiza na miradi ya wazungu lakni kwa jinsi muendeleo ulivyo security inazidi kua ndogo na umri nao unasonga

Hivyo basi kunapesa nilikusanya kipind napiga hizo kazi, nikaka chini na kuona ni bora nirudi shule ila kwa kuhama fani kwa vile GPA(2.9) yangu haikua nzur sana, nimeona nikasome POSTGRADUATE DIPLOMA YA education katika sayansi subject, ila nilikua Naomba kujua baadhi ya Vyuo vinavyotoa hio Kozi na Angalau Ada zake Nizakuridhisha Na Hazitaniumiza katika kipind Cha masomo

Nashukuru, Naomba Kuwasilishaa.

wazo zuri mkuu,ila mi nina mawazo tofauti kidogo na wewe,kwa hali ya kawaida,hata uwe na mivyeti kibao bila kuitumia elimu husika bado ni tatizo ukizingatia vijana wengi wa leo tunapenda kuanzia juu kuliko uhalisia wa maisha.binafsi ningeshauri utafute kazi na hasa za ujumla,kuna kazi ambazo kimsingi zingakuwa hazihitaji elimu sana mfano majeshini na zingine pia.kwa hali ya sasa ukipiga kitabu wakati tayari una sehemu ya kushika ni rahis sana kusonga mbele.with time xperience yako itaadd katika vyeti vyako.but all in all maauzi yako yanabaki kuwa sahihi kwani mwisho ya siku maisha ni yako na wewe ndiyo muhusika
 
Samahani unataka kusoma postgraduate ya Education ili ufundishe ie uajiriwe ualimu au? Manake sidhani kama una sifa za kuajiriwa kuwa Mwalimu hata kama utasoma hiyo postgraduate kwani angalau undergraduate ungekuwa umesoma shahada isiyokuwa ya Elimu ila ina somo angalau moja la kufundishia eg Bachelor of Agro Economics mtu kama huyu anaweza kusoma postgraduate ya Education na kwenda kufundishia Uchumi tafakari upya kabla hujapoteza fedha yako. Me ninachokushauri nenda wizara ya Elimu pale kulikuwa na mkakati wa kuwachukua wale wote waliosoma Science Subject then wanawapeleka mafunzo ya miaka miwili kwa kuwalipia na baadaye kuajiriwa ukishaajiriwa submit cheti cha bachelor kwa mwajiri wako then utafanyiwa kitu kinaitwa Recategorization unaweza kuwa Afisa misitu au kazi nyingine inayofanana na kada yako
 
Samahani unataka kusoma postgraduate ya Education ili ufundishe ie uajiriwe ualimu au? Manake sidhani kama una sifa za kuajiriwa kuwa Mwalimu hata kama utasoma hiyo postgraduate kwani angalau undergraduate ungekuwa umesoma shahada isiyokuwa ya Elimu ila ina somo angalau moja la kufundishia eg Bachelor of Agro Economics mtu kama huyu anaweza kusoma postgraduate ya Education na kwenda kufundishia Uchumi tafakari upya kabla hujapoteza fedha yako. Me ninachokushauri nenda wizara ya Elimu pale kulikuwa na mkakati wa kuwachukua wale wote waliosoma Science Subject then wanawapeleka mafunzo ya miaka miwili kwa kuwalipia na baadaye kuajiriwa ukishaajiriwa submit cheti cha bachelor kwa mwajiri wako then utafanyiwa kitu kinaitwa Recategorization unaweza kuwa Afisa misitu au kazi nyingine inayofanana na kada yako

Baado hujajuaa unachokiongea mkuu, nalaiti ungejua hio fani ya wildlife management kilichomo ndani ni kitu gani usingezungumza hayo, na kitu kingine unapohaama hio fun na kuchukua ualimu lazima ufanye kumajor somo Kama biology or chemistry halafu na uchukue na kozi zote za education Kama philosophy, psychology na teaching methodology na zingine nying lazima usome sasa unapokuja na hizo Agro sijui nn tunashindwa kukuelewaa Mangiiiiiii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom