Mbeleni unataka kuwa mtu wa mshahara tu au unapanga kuja kujiajiri kidogo?
Kama mtu wa mshahara , ukiotea chaka katika sector hiyo basi umetakataka mkuu, ila usipo otea napo kipengele sana..
Binafsi kila taaluma kwa Tanzania inalipa.. ina kuna mambo mengi sana ya kutazama