Pauline,nyumba ndogo ndogo tu ukilala mguu inatokeza nje!! sidhani kama ni suluhisho labda la mwisho wa yote.
pole sana.ila huyo mwanamke anabahati.embu mpe mkwara baridi.usimuulize kitu,chelewa kurudi na uwe bizze na simu yako hata kama unawasiliana na washkaji.atabadilika tu huyoo.