wadau naombeni mwenye kujua mahali zilipo kampuni zinazojihusisha na G.I.S kwa hapa dar zilipo? nnazozijua hata 5 hazifiki hivyo naomba mwenye kuzijua mahali zilipo anitajie.
wadau naombeni mwenye kujua mahali zilipo kampuni zinazojihusisha na G.I.S kwa hapa dar zilipo? nnazozijua hata 5 hazifiki hivyo naomba mwenye kuzijua mahali zilipo anitajie.
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.
Wewe umesomea GIS?? Zipo kampuni nyingi tu. Tena kubwa. Kwa sasa makampuni mengi makubwa lazima yawe na GIS department. Kwa mfano TANESCO wana idara mpya kabisa ya GIS, mimi nimefanya kazi huko.