Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu nasoma community development
Naomba msaada kwa wana jamvi wenzangu juu ya tittle ya research ya kufanya...naomba kusaidiwa current issues ambazo zita niongoza katika hili.
MSAAADA
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu nasoma community development
Naomba msaada kwa wana jamvi wenzangu juu ya tittle ya research ya kufanya...naomba kusaidiwa current issues ambazo zita niongoza katika hili.
MSAAADA
Hebu tafuta mwenyewe kwanza. Soma magaazeti(sio ya udaku) nenda maktaba kachukue research walzofanya wenzanko,cheki kipengele cha recomendations for the future researchers.