Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 905
- 1,409
Kama una laptop au computer nzuri anzia hapa for freeWakuu habari
Kwa muda mrefu , ninashahuku ya kujifunza programming language, ila mpaka sasa sijajua nianze na language Ipi, na jinsi nitajifunza..
Najua humu ndani kuna mafundi wazuri wa haya mambo, naombeni ushahuri wenu, nianze na language ipi
Nb: Sio kwamba nataka nijifunze kwa kujifurahisha, ila nataka kujua language ambayo ipo kwenye market, na kutengeneza pesa,
Jifunze Java au PythonWakuu habari
Kwa muda mrefu , ninashahuku ya kujifunza programming language, ila mpaka sasa sijajua nianze na language Ipi, na jinsi nitajifunza..
Najua humu ndani kuna mafundi wazuri wa haya mambo, naombeni ushahuri wenu, nianze na language ipi
Nb: Sio kwamba nataka nijifunze kwa kujifurahisha, ila nataka kujua language ambayo ipo kwenye market, na kutengeneza pesa,
Sijawahi kusoma language yoyoteUmewahi kusoma programming language yoyote?
Kama jibu ni hapana anza ni C kwa kuwa programming language zimeundwa tokea kwenye C hivyo itakupa urahisi wa kujifunza zingine kama C++,C#,Java,Python na zingine bila shida.
Anza na C,hizi zingine utazielewa bila tabuSijawahi kusoma language yoyote
Swali la msingi.Wakuu habari
Kwa muda mrefu , ninashahuku ya kujifunza programming language, ila mpaka sasa sijajua nianze na language Ipi, na jinsi nitajifunza..
Najua humu ndani kuna mafundi wazuri wa haya mambo, naombeni ushahuri wenu, nianze na language ipi
Nb: Sio kwamba nataka nijifunze kwa kujifurahisha, ila nataka kujua language ambayo ipo kwenye market, na kutengeneza pesa,
Anza na C (To get the general knowledge, structure, syntax etc)Wakuu habari
Kwa muda mrefu , ninashahuku ya kujifunza programming language, ila mpaka sasa sijajua nianze na language Ipi, na jinsi nitajifunza..
Najua humu ndani kuna mafundi wazuri wa haya mambo, naombeni ushahuri wenu, nianze na language ipi
Nb: Sio kwamba nataka nijifunze kwa kujifurahisha, ila nataka kujua language ambayo ipo kwenye market, na kutengeneza pesa,
Kutengeneza mobile Apps na mifumo mbali mbali, Nina ideas nyingi kichwani, nataka ziwe katika realitySwali la msingi.
Je unataka kutengeza mobile app au website au desktop software?
Jibu tuendelee.
Ushahuri mzur sana... Mm nataka niwe Apps developer, na Ku tengeneza system mbali mbaliAnza na C (To get the general knowledge, structure, syntax etc)
Then fanya html and css (Kwasababu they are simple and you can create simple webpages and getting use to codes, hii itaku-motivate to keep on moving in learning coding)
Then depending on where you want to specialize unachagua languages in accordance to the area of specialization Kama alivyogawanya hapo juu mkuu Cybergates
Dah , hapa nimekuelewa vizur sana, kwa jinsi ulivyo categoriesWeb Development
web design
desktop
- html
- css
- javascript
- Jquery
embedded system
- c++
- java
- python
- C
- C++
IA & ML
C
C++
Java
python (4/10)
please tuletee feedback saizi karibu mwaka unaisha tangu uanze!Wakuu! Huu ushahuri wa kuanza na C nauchukua bila kupepesa macho, nitakuja kuleta feedback, siku moja.
Niliachana na hayo mambo, sahivi nafanya biashara , mambo sio mabaya hukuplease tuletee feedback saizi karibu mwaka unaisha tangu uanze!
broo ulibadili gia anganiNiliachana na hayo mambo, sahivi nafanya biashara , mambo sio mabaya huku
Bro kuna utofauti gani kati ya web designing na web development?Web Development
web design
desktop
- html
- css
- javascript
- Jquery
embedded system
- c++
- java
- python
- C
- C++
IA & ML
C
C++
Java
python (4/10)