Ulitakiwa uelezee mzee ndio kasahau password,na nina wasiwasi bado, hyo simu ni mpya huyo mzee wako?tupe namba zake tumpigie tumuelekeze hatuachi mwanya wowote hapa tumechoka kuibiwa simu sisi alafu watu waombe msaada wa kuzifungua password!Cyo kila mtu unamuhis hvyo mzee ndo amesahau password yake ,,,
Jf lazima tubadilike tusiruhusu wizi uendelee naanza mimi (change ni wewe change ina anza na wewe) if we do not change no body will change usHakuna namna jf sio sehemu uhuni



JF wamechachamaa