wengine siyo za kwao mkiwafundisha itakula kwenuYa kwako????
Hamna njia mbadalamsaada jamani kama umesahau password au pattern ulizo weka kwenye simu yako ni njia ipi nitaondoa bila ya kwenda kuflash?
Ngoja aseme ni aina gani kwanza zingine zina frp no short cutHamna njia mbadala
Hiyo simu either ni ya mpenzi wako au ya wizi,nenda kaflush tu usilete balaa lako hapa,kwa nini usahau pasword wakati kila siku unafungua simu!jamani huyu mtu msimpe njia ya kufungua!simu siyo yake acha apovuke tu!Kama ban leo ban tu!msaada jamani kama umesahau password au pattern ulizo weka kwenye simu yako ni njia ipi nitaondoa bila ya kwenda kuflash?
Wanatuibia sana simu hakuna kuwapa solution hawaHahahahaa
Swali zuriYa kwako????
Duuh JF tumefika hapa?wengine siyo za kwao mkiwafundisha itakula kwenu
HahahaaaaaHamna njia mbadala
Ndio maana nimeuliza simu aina gani ili akisema tu muhusika kama yupo humu ajue mwizi wake.Ngoja aseme ni aina gani kwanza zingine zina frp no short cut
Heri angetumia swaga zileee za mtoto amechezea imeji block.Hiyo simu either ni ya mpenzi wako au ya wizi,nenda kaflush tu usilete balaa lako hapa,kwa nini usahau pasword wakati kila siku unafungua simu!jamani huyu mtu msimpe njia ya kufungua!simu siyo yake acha apovuke tu!Kama ban leo ban tu!
Lakini aki google tu mchezo kwishaaa...Wanatuibia sana simu hakuna kuwapa solution hawa
Cyo kila mtu unamuhis hvyo mzee ndo amesahau password yake ,,,Hiyo simu either ni ya mpenzi wako au ya wizi,nenda kaflush tu usilete balaa lako hapa,kwa nini usahau pasword wakati kila siku unafungua simu!jamani huyu mtu msimpe njia ya kufungua!simu siyo yake acha apovuke tu!Kama ban leo ban tu!