Msaada juu ya kujiunga jeshi

Msaada juu ya kujiunga jeshi

prettydiva

Senior Member
Joined
Feb 19, 2014
Posts
101
Reaction score
39
Habari wadau. Nilikuwa naomba kuuliza kuna taratibu gani za kufata kwa mtu anayetaka kujiunga jeshi akiwa na degree moja,na pia kuna tofauti gani kati ya JKT & JWTZ.

Please nisaidieni.
 
Huwa wanatoa nafasi za ajira kulingana na elimu yako, wale wenye stashahada na kuendelea kwa Dar mara nyingi huanzia pale kunduchi, JWTZ na JKT, JKT imezaliwa na JWTZ.
 
Back
Top Bottom