prettydiva
Senior Member
- Feb 19, 2014
- 101
- 39
Habari wadau. Nilikuwa naomba kuuliza kuna taratibu gani za kufata kwa mtu anayetaka kujiunga jeshi akiwa na degree moja,na pia kuna tofauti gani kati ya JKT & JWTZ.
Please nisaidieni.
Please nisaidieni.