TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,297
Wakuu,
Ni mara ya kwanza kutuma maombi utumishi. nimeona kazi zilizo tangazwa za tarehe 1/4/2014. Lakini hakuna kipengele cha cetified vyeti, na kuna mdau anasema ni lazima cetified vyeti. je kwa nyie wazoefu je ni kweli?
Naombeni ushauri kabla ya kutuma maombi.
Asanteni
Ni mara ya kwanza kutuma maombi utumishi. nimeona kazi zilizo tangazwa za tarehe 1/4/2014. Lakini hakuna kipengele cha cetified vyeti, na kuna mdau anasema ni lazima cetified vyeti. je kwa nyie wazoefu je ni kweli?
Naombeni ushauri kabla ya kutuma maombi.
Asanteni