Habari Wana jf ...naitaji msaada wa kujua vituu vyote muhmu kwa ajili ya kufungua duka la nyama ikiwemo mtaji minimum shngap na mambo yote muhmu changamoto na faida za biashara iii...na location pia
Kulee bei zao za maskin nyama unanuna 7500 zuri then bei zao n 7000 au 7500au 8000 khy bora ufugue ilal utauza 9000 coz temek bucha za nyama wanachinja wenyew cow
Kulee bei zao za maskin nyama unanuna 7500 zuri then bei zao n 7000 au 7500au 8000 khy bora ufugue ilal utauza 9000 coz temek bucha za nyama wanachinja wenyew cow
Ila sasaivi wanatumia sana mashine za umeme na ili uweze kufanya biashara vizuri nunua na jenereta japo dogo ili biashara ifanyike,mapanga maeneo mengi hawatumia sasaivi
Ila sasaivi wanatumia sana mashine za umeme na ili uweze kufanya biashara vizuri nunua na jenereta japo dogo ili biashara ifanyike,mapanga maeneo mengi hawatumia sasaivi
Ilaa upambane biashar inachosha ukifanya pekee yako khy tafuta mtu utafute mtu anajua kukugulia nyama pia nina gogo kama ujapata unichek maan mashine bei kubwaa 1.5m