Nimenunua modem ya Voda na nime - install kwenye laptop bila tatizo. Tatizo ni kwamba ingawa kwenye status inaonyesha kuwa ipo connected lakini inaniambia hakuna network hivyo sipati mtandao. Ila niki -disconnect na ku-connect kupitia dial up setting, ndipo ninapopata internet.
Kwa kuwa inatakiwa u-connect moja kwa moja kupitia modem software interface, nifanyeje? Nikiwapigia customer service ya Voda ni mchemsho tu. Natumia Window 7.
Kwa kuwa inatakiwa u-connect moja kwa moja kupitia modem software interface, nifanyeje? Nikiwapigia customer service ya Voda ni mchemsho tu. Natumia Window 7.