Msaada jinsi ya kutengeneza wireless charge

Huwa natumia sumaku ili kuwezesha coil kupokea.... Au kuna aina maalum ya magnetic inayotakiwa!?
 
Unaposema simu ya kisasa.... Nadhani smartphones ndo unaongelea! Na katika jaribio langu nimekuwa nikitumia simu za aina hiyo mkuu
 
Hiyo wireless charger si moja ya technology mpya kabisa,sasa wewe ndo unataka uitengeneze kienyeji?
Naonekana kama nachekesha eehh!?
, ni technology ambayo si ngumu kama una idea na electronics! Ikanivutia kujaribu icho kitu... Ila skupata matokeo chanya ndo mana nkaomba msaad huku mkuu
 
Dah..kama huna ujuzi usijaribu unaweza unda killipuzi bila kujua ukaleta maafa,mwaka mmoja enzi za mwinyi nilijarbu kuchaji dry cell 4 za national kwenye umeme wa ndani wakati baba yupo job,aisee kilichotokea ni hatari mkubwa zile betr zili bust na kun'goa body na bati 2 kwa kua tulikua karibu na kituo dkika 0 tu wakawa around baada ya ile mshindo ha ha ha balaa,mkuu usijaribu kama kitu ukijui.
 
Watu kama nyie ni hazina kubwa.Elimu yako inaonesha una kitu cha ziada.Lazima ukubali kazi za wengine.Nimekubali mawazo yenu ni endelevu.
 
Huyu jamaa sio kwamba anataka kutengeneza wireless ila anataka kucharge simu bila ya nishati ya tanesco.
 
Ni kweli.... Lkn Hakuna aliyezaliwa na ujuzi, wote walijifunza! Nimesikitika katika hilo tukio lako
 
Ndio nilivyokuelewa kwa kutumia picha yako. Maana yake umekata usb na kufunga kopa waya kama vile coil.
Pale kuna sumaku na kichwa cha charge kinachoingia kweny Umeme... Ingawa pichan havipo
 
Huwa natumia sumaku ili kuwezesha coil kupokea.... Au kuna aina maalum ya magnetic inayotakiwa!?
Usitumie sumaku. Cos sumaku tayar ina induction. Tumia iron ambayo inapitisha sumaku ambapo baada ya koil kupokea umeme ndo itaform usumaku. Kitu unacho kifanya ww unatengeneza Microphone au spika.
 
Kjn hakuna hiyo kitu according to laws za conservation of energy uwezi kuconvert umeme kutumia wireless ndo maana hadi sasa tanesco bado wana tumia nguzo na elewa kuwa magnetic induction inaoperate kwenye AC only na sio kwenye chaji ya cmu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…