Msaada Jinsi ya Kupata Passport

Msaada Jinsi ya Kupata Passport

mach0

Member
Joined
Aug 7, 2018
Posts
24
Reaction score
13
Habar wana Jamii. Nipo katika harakati za kutafuta passport lakini nimekwama katika suala la kitambulisho cha taifa kwan binafsi sina hiko kitu.Sasa NIDA yachukua zaidi ya mwezi mmoja kukipata je kuna njia nyingine ya kufanikisha hili swala bila ya kua na National Id?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hili swala ni headache kwa wanaotafuta passport kipindi hiki!! Niliota mapema sana kipindi kile 2014 tena kwa sh elfu 50 tu..bila kuhonga. Passport ina umuhimu wake sana
 
Habar wana Jamii. Nipo katika harakati za kutafuta passport lakini nimekwama katika suala la kitambulisho cha taifa kwan binafsi sina hiko kitu.Sasa NIDA yachukua zaidi ya mwezi mmoja kukipata je kuna njia nyingine ya kufanikisha hili swala bila ya kua na National Id?

Sent using Jamii Forums mobile app
kama , ni mgonjwa hata bila kuwa na hicho kitambulisho, mkononi, ila umeshajiandikisha na kupigwa picha ungeweza kupewa hiyo hati ya kusafiria
 
Wew nenda kwenye ofis za migration..... Utapewa utaratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hana haja ya kupoteza muda wake, kwenda huko, kifupi bila hicho kitambulisho kupata hati ya kusafiria ni ngumu mno!! Labda awe mgonjwa na tayari awe yumo kwenye system ya NIDA, kuwa anasubilia tu kitambulisho ila alishajiandikisha, atapewa.
 
0674637243 uwe na laki moja na ishirini siku tatu au nne nakupa kitambulisho cha taifa na passport ndani ya siku nne pia kama umekamilisha documents zote
Habar wana Jamii. Nipo katika harakati za kutafuta passport lakini nimekwama katika suala la kitambulisho cha taifa kwan binafsi sina hiko kitu.Sasa NIDA yachukua zaidi ya mwezi mmoja kukipata je kuna njia nyingine ya kufanikisha hili swala bila ya kua na National Id?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0674637243 uwe na laki moja na ishirini siku tatu au nne nakupa kitambulisho cha taifa na passport ndani ya siku nne pia kama umekamilisha documents zote
Hujaeleweka hiyo laki na ishirini ni out of 150,000 ya gaharama ya passport?
 
Namba inatosha. Yangu nimechukua Jana bila kitambulisho
Sasa kama sina mpango wa kusafiri nitawaambiaje wanipatie passport make mi nataka niitumie kuverify identify Fiverr, na vp ilikugharimu sh. ngapi na kwa mda gani had hukapata passport
 
Sasa kama sina mpango wa kusafiri nitawaambiaje wanipatie passport make mi nataka niitumie kuverify identify Fiverr, na vp ilikugharimu sh. ngapi na kwa mda gani had hukapata passport
Ni lazima uwe na nia ya kusafiri na vithibitisho watataka, kwa situation Kama yako may be watakuelewa au uwe na connections. Kikawaida niliambiwa nikachue baada ya siku nane ila nilifanya mpango kwasababu ilikuwa na haraka nikapata baada ya siku mbili.
Ukiwa na documents zilizokamilika hakuna usumbufu wowote.
Gharama ni 150,000.
20,000 form
130,000 passport
 
Ni lazima uwe na nia ya kusafiri na vithibitisho watataka, kwa situation Kama yako may be watakuelewa au uwe na connections. Kikawaida niliambiwa nikachue baada ya siku nane ila nilifanya mpango kwasababu ilikuwa na haraka nikapata baada ya siku mbili.
Ukiwa na documents zilizokamilika hakuna usumbufu wowote.
Jumla ulilipa Shilingi ngap Process nzima
 
Back
Top Bottom