Wadau naombeni mnisaidie jinsi ya Kupata fao la uzazi linalotolewa na mfuko wa PSFP ambalo wanasema ni 130% ya mshahara.Nasubiria majibu wakuu.
nami nina shida na hili fao la uzazi pspf anayejua anijuze.
Rmma ulifanikiwa?
Wadau naombeni mnisaidie jinsi ya Kupata fao la uzazi linalotolewa na mfuko wa PSFP ambalo wanasema ni 130% ya mshahara.Nasubiria majibu wakuu.