Msaada Jinsi ya kupata antivirus

Msaada Jinsi ya kupata antivirus

geraldamani

Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
21
Reaction score
3
wakuu naombeni msaada wa link ya kudownload Kaspersky antivirus 2014 au antivirus yoyote nzuri yenye activation keys kabisa
 
Tafuta kwenye google au nenda jf store, hapa hadharani watatukamata enye mali zao
 
Mie nnayo kaspersky 2014 internet security ya mwaka mzima
Kwa bei ya 20000.
 
weka ubuntu… END OF THE STORY!!!
Nani alikuambia ukiwa na Ubuntu hauhitaji antivirus?Wengi wanamawazo kama wewe usijidanganye kutokuwa na antivirus,ni kweli Windows inashambuliwa sana kwani wengi wanatumi OS hii,lakini haimanishi OS zingine hazishambuliwi.
Amka
 
  • Nimekutumia Download links kwenye PM
  • KARIBU

Mwl.RCT namie nitumie kiongozi kama kwenye window 8 inapiga mzigo vyema! manake pc yangu imekuwa slow nahisi inauvamizi wa virusi vya mitandaoni.
 
Mwl.RCT namie nitumie kiongozi kama kwenye window 8 inapiga mzigo vyema! manake pc yangu imekuwa slow nahisi inauvamizi wa virusi vya mitandaoni.
Nitafanyia kazi ombi lako muda wa jioni. Tuko pamoja. KARIBU
 
Nani alikuambia ukiwa na Ubuntu hauhitaji antivirus?Wengi wanamawazo kama wewe usijidanganye kutokuwa na antivirus,ni kweli Windows inashambuliwa sana kwani wengi wanatumi OS hii,lakini haimanishi OS zingine hazishambuliwi.
Amka
Inainekana uelewa wako ni mdogo katika haya mambo ngoja nikuupuuze na kutokuwa na akili kwako
 
Inainekana uelewa wako ni mdogo katika haya mambo ngoja nikuupuuze na kutokuwa na akili kwako

Tusaidie mwenzetu mwenye uelewa mkubwa
kwani virus ni nini?
na kwanini wasiweze kushambulia ubuntu?

Maana inabidi tuelewe na tusikariri
 
Inainekana uelewa wako ni mdogo katika haya mambo ngoja nikuupuuze na kutokuwa na akili kwako
Ni kweli uelewa wangu ni mdogo with reference to God.Soma hapa wewe mwenye uelewa mkubwa uone labda unaweza nielewe concept yangu."There is nothing like a 100% secured system",I thought you knew?
 
Back
Top Bottom