Msaada jinsi ya kuondoa network restriction

Msaada jinsi ya kuondoa network restriction

JMF

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
1,782
Reaction score
2,843
Salaam wakuu. Nina tablet aina ya Vodafone Smart Tab 3G ambayo inakubali tuu kutumia line ya voda. Nikiweka line ya mtandao mwingine inaniambia niingize code za network restriction. Nimeshauriwa nifanye factory reset lakini haikuondoa tatizo. Naombeni msaada nini chakufanya niweze kutumia mtandao mwingine wakuu.
 
Salaam wakuu. Nina tablet aina ya Vodafone Smart Tab 3G ambayo inakubali tuu kutumia line ya voda. Nikiweka line ya mtandao mwingine inaniambia niingize code za network restriction. Nimeshauriwa nifanye factory reset lakini haikuondoa tatizo. Naombeni msaada nini chakufanya niweze kutumia mtandao mwingine wakuu.
Tafadhali nakuita, Mwl RCT.
Mpe msaada huyu jamaa!...
 
Back
Top Bottom