Msaada jinsi ya kuinstall Whatsapp kwenye Nokia C2-05

Msaada jinsi ya kuinstall Whatsapp kwenye Nokia C2-05

B.4really

Senior Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
199
Reaction score
89
Wakuu,mara kwa mara nimekuwa nikidownload application ya whatsapp kwenye simu yangu ya nokia C2-05 inakubali ila mara tu napoifungua inafail na inasomeka application failed,msaada wenu wakuu kama kuna njia nyingine & natanguliza shukrani.
 
java.apps.opera.com/en_us/whatsapp_messenger_r415.html?pos=5
 
4XrdCVNYmbKXg8oeKx3Q0Co-qvu7Y1kSBtkUkPyr0B8MeAGivg8_xOlZAJ2DhC7WgqRS=w705
 
Licha ya whatsapp kuwa inakubali baadhi ya simu tu,kama baadhi ya symbian 40 kama x2-01 pia sasa whatsapp inaweza kufanya kazi katika simu za kawaida kabisa za java aina ya nokia. We ni pm nikupe msaada mi nnatumia nokia x1 lakini nna chati na whatsapp kama kawa.
 
Wakuu shukran nyingi ziwaijie popote mlipo kwa msaada wenu,hatimaye nimefaulu.
 
najarb kudownlod watsup kwene cm yang nokia c2 inafail kwa wanaojua msaada tafadhal
 
Licha ya whatsapp kuwa inakubali baadhi ya simu tu,kama baadhi ya symbian 40 kama x2-01 pia sasa whatsapp inaweza kufanya kazi katika simu za kawaida kabisa za java aina ya nokia. We ni pm nikupe msaada mi nnatumia nokia x1 lakini nna chati na whatsapp kama kawa.
Natumia nokia x2-1 whatsapp imegoma kabisa nisaidie plz
 
Licha ya whatsapp kuwa inakubali baadhi ya simu tu,kama baadhi ya symbian 40 kama x2-01 pia sasa whatsapp inaweza kufanya kazi katika simu za kawaida kabisa za java aina ya nokia. We ni pm nikupe msaada mi nnatumia nokia x1 lakini nna chati na whatsapp kama kawa.

natumia nokia E61i ntapata vp application y whatsapp?
 
Licha ya whatsapp kuwa inakubali baadhi ya simu tu,kama baadhi ya symbian 40 kama x2-01 pia sasa whatsapp inaweza kufanya kazi katika simu za kawaida kabisa za java aina ya nokia. We ni pm nikupe msaada mi nnatumia nokia x1 lakini nna chati na whatsapp kama kawa.

mie natumia nokia E61i utanisaidia vp mkuu?
 
Back
Top Bottom