Msaada jinsi ya kuifungua modem aina ya ZTE

Changed ID

Member
Joined
Aug 5, 2018
Posts
79
Reaction score
69
Wakuu habari za wakati huu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza mwenye kufahamu jinsi ya kuunlock hizi modem anipe msaada ili niweze kutumia hata katika line mbalimbali. Sasa hivi inatumia Vodacom tu.

Ahsanteni.

View attachment 1264252
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…