adam scientist
Member
- Nov 24, 2016
- 9
- 5
Mm nimuhitimu form six niliopangiwa mafunzo ya kijeshi Kwa mujibu wa sheria jkt lakini kambi hiyo Ipo mbali na ninapoishi hivyo natakakujua jinsi ntakavyobadili kambi .asanteni
Uende MMJKT watakusaidia au Kambi ya JKT karibu nawe watakueleza cha kufanyaMm nimuhitimu form six niliopangiwa mafunzo ya kijeshi Kwa mujibu wa sheria jkt lakini kambi hiyo Ipo mbali na ninapoishi hivyo natakakujua jinsi ntakavyobadili kambi .asanteni
walipo niacha kwenye mataa ni nauli ya kwenda na kurudi una jilipiaMm nimuhitimu form six niliopangiwa mafunzo ya kijeshi Kwa mujibu wa sheria jkt lakini kambi hiyo Ipo mbali na ninapoishi hivyo natakakujua jinsi ntakavyobadili kambi .asanteni
Iyo ndo kawaida yao broxkiii xo ucxuangae we nenda tuwalipo niacha kwenye mataa ni nauli ya kwenda na kurudi una jilipia
Wanaruhusiwa kuhama wenye matatizo ya kiafya/ulemavu tu tena wote huenda RUVU JKT regardless unakaa wapi..Mm nimuhitimu form six niliopangiwa mafunzo ya kijeshi Kwa mujibu wa sheria jkt lakini kambi hiyo Ipo mbali na ninapoishi hivyo natakakujua jinsi ntakavyobadili kambi .asanteni

Fuata huu ushauriRiport kambi yoyote iliyo karibu na wewe. Usiogpe. Me nilijila nikaenda zangu mlale jkt wakati ningeweza kwenda msange au rwamkoma
We nenda kambi ya karibu na ww utaratibu wa transfer wataufanya wenyew kikosini. Me Ni shahidi wa Hilo. 842kj op Tanzania ya viwanda
Yeah hili linawezekana wakati wetu kuna waliokuja kikosi chetu oljoro na wala hawakufukuzwa na walipewa vyeti kama kawaida, chakufanya nenda kambi iliyo jirani na wewe na ripoti watakupokea kama kawaida na uhamisho watashughulikia wao ila usiseme kuwa umezamia hadi watakapokuja uliziaRiport kambi yoyote iliyo karibu na wewe. Usiogpe. Me nilijila nikaenda zangu mlale jkt wakati ningeweza kwenda msange au rwamkoma
We nenda kambi ya karibu na ww utaratibu wa transfer wataufanya wenyew kikosini. Me Ni shahidi wa Hilo. 842kj op Tanzania ya viwanda
Hapo ndio walinifelisha😂😂😂walipo niacha kwenye mataa ni nauli ya kwenda na kurudi una jilipia
Nenda kambi yoyote unayoitaka utawaeleza kuwa nmechaguliwa kambi fulani kutokana na tatizo fulani nmeamua kuja hapa so no complication watakukubaliii.... So usjali hakuna ugumu juu ya hiloMm nimuhitimu form six niliopangiwa mafunzo ya kijeshi Kwa mujibu wa sheria jkt lakini kambi hiyo Ipo mbali na ninapoishi hivyo natakakujua jinsi ntakavyobadili kambi .asanteni
Inamana now hulali huko??walipo niacha kwenye mataa ni nauli ya kwenda na kurudi una jilipia
Unalala ila nauli ya kwenda kambi ilipo una jitegemea .naya kurudi siku kambi ikiisha una jitegemea inshort nikama siku ya kwanza unaenda boarding school vifaa vyote ni vyakoInamana now hulali huko??