Samatime Magari
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 103
- 388
Wakubwa Kwema naomba msaada wa jinsi ya kurudisha gmail account, Nikiwa katika matumizi yangu ya kawaida ya simu yangu nilipata ujumbe kwamba nimekua signed out of google a/c nikajaribu kurudi ndani nilivyoingia nikaambiwa a/c yangu imekua disabled kwa sasabu nime violate Google terms (Kitu ambacho sijafanya au nimefanya bila kujua). Nikapewa option ya ku restore nikatoa na reasons but since last week mpaka leo naambiwa wana review my request.
any idea on how I can have my a/c back tafadhali
any idea on how I can have my a/c back tafadhali