Msaada:jinsi ya ku install windows 7

Msaada:jinsi ya ku install windows 7

Olsea

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
473
Reaction score
297
Habari zenu wakuu,nilikua ninaomba kama kuna anayefahamu,ni hivi juzi kuna rafiki yangu alikuja na cd yake ya windows 7 ultimate sasa nikai burn kwenye dvd kama file la kawaida,sasa ninataka kubadilisha niweke hii window tatizo ukiweka na kuboot laptop haitambui,nikaja kufahamu kumbe ilitakiwa nitengeze bootable image wakati wa kuburn lakini kwa sababu ya kutokua na ufahamu sikufanya hivyo,nimejaribu kuitumia ile cd kwa kufungu kama file lingine ndani kuna set up kama kawaida na ukizitumia unaingiza windows kama kawaida ila tatiza zile options za kufanya partition na kudelete au kuformat old windows haziji,je kuna njia yoyote ambayo ninaweza kutumia haya mafile na set up zake kutengenezea bootable cd au bootable usb flash?
 
ISO ya window 7 kama ilivyo ni bootable, umejaribu kuingia kwenye BIOS na kuhakisha mashine yako inaboot from DVD/CD Drive? au kama unaona inasumbua unaweza burn bootable USB na ukatumia hiyo. nakupa na direct link ya win 7 ultimate sp1 moja kwa moja kutoka kwa MSN wenyewe ili kama una uwezo uishushe. Official Windows 7 SP1 ISO from Digital River « My Digital Life fuata hizo links ushushe copy nzima alafu ufuate hii hapa ili upate USB burner ya windows 7.. Microsoft Store Online
 
Asanta sana mkuu,ila kila nikijaribu hiyo link ya window naona haifunguki sijui tatizo nini aisee
 
Inaelekea wewe si mtaalam sana wa computer, nakushauri utafute mtaalam akufanyie kazi hii si kila mtu anaweza kufanya. pengine uliona mtu anafanya na wewe unataka kujaribia kwenye comp yako. ACHA mchezo huo. ndo maana kuna watu wamesomea haya mambo so watafute kwanza wakusaidie unaweza attempt ku save 50,000/= ikakugarimu computer mpya
 
kama umefika mpaka mahali pa kuinstall windows,inawezekana vipi usizione optionz??lakini lisiwe tatizo kubwa copy za window zipo nyingi mtandaoni zilizokuwa cracked na kila kitu so achana nayo tafuta ingine,,\
Ila kama si hivyo bootable flash hutengenezwa kwa command na image huwa znakuwa in iso form,kwa ulipofika install windows then washa machine ingia c utakuta windows.old cchukua data uyondoke bt tafuta another copy
 
Back
Top Bottom