Msaada jinsi ya ku-install linux

Msaada jinsi ya ku-install linux

MKANDAHARI

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2011
Posts
5,734
Reaction score
6,637
Habarini wakuu, wadau msaada tafadhali! nimejaribu kudownload linux version tofauti tofauti lakini tatizo langu lipo kwenye ku-install. kila nikijaribu inaniletea error flani hadi nashindwa nifanyeje! je, hii linux nloidownload ni lazima nii-burn kwenye DVD kwanza ndo niweze kufanya installation au naweza tu nkatafuta setup file lake nka-run tu kama installation nyingine zinavyofanyika coz ipo kwenye winrar.

Swala la pili nimedownload linux version ya 16 (PETRA) lakini baada ya kumaliza kudownload kale ka-setup kake hakipo, je hiyo nayo nikiiburn ntakuwa nimeharibu tu DVD for nothing?

Je, kama itanilazimu ku-burn, ntaiburn kivipi (procedures)........... ikumbukwe kuwa zote zipo kwenye Zipped file (winrar archieve)
 

Attachments

  • Installation.jpg
    Installation.jpg
    27.4 KB · Views: 111
  • mint16.jpg
    mint16.jpg
    47.6 KB · Views: 122
Burn kwenye DVD au tengeza bootable USB disk.
 
Habarini wakuu, wadau msaada tafadhali! nimejaribu kudownload linux version tofauti tofauti lakini tatizo langu lipo kwenye ku-install. kila nikijaribu inaniletea error flani hadi nashindwa nifanyeje! je, hii linux nloidownload ni lazima nii-burn kwenye DVD kwanza ndo niweze kufanya installation au naweza tu nkatafuta setup file lake nka-run tu kama installation nyingine zinavyofanyika coz ipo kwenye winrar.

Swala la pili nimedownload linux version ya 16 (PETRA) lakini baada ya kumaliza kudownload kale ka-setup kake hakipo, je hiyo nayo nikiiburn ntakuwa nimeharibu tu DVD for nothing?

Je, kama itanilazimu ku-burn, ntaiburn kivipi (procedures)........... ikumbukwe kuwa zote zipo kwenye Zipped file (winrar archieve)

Kama ndio unaanza kutumia Linux kwa mara ya kwanza nadhani itakuwa vyema ukianza na Ubuntu. Unaweza kuipakua hiyo ubuntu for free hapa The world's most popular free OS | Ubuntu
 
Linux Mint ni derivative ya ubuntu. Nayo ni laini na nzuri tu. Most likely utakua ume download copy amvayo haijakamilika. Kuna namna za kuhakiki kama faili lako ni halisi ila tusiende huko kwa leo. Download Ubuntu kama kiungo alichotuma mja fulani hapo juu kisha enda Youtube.com u search "how to make Ubuntu Live CD from ISO". Itakupatia video nyingi za maelezo. Nachelea unachokitaka toka kwenye Linux huenda kikakupa kazi ngumu kuliko unachokikimbia toka ulipokuwa.
 
nashukuruni sana wadau! nimetumia njia ya kuboot kwa kutumia flash! nimefika sehemu flan hivi ndo nikagomea hapo coz nlikuwa sijui cha kufanya nliogopa ku-overwrite hii windows iliyopo saivi! nataka hii windows nayotumia iwepo vile vile manake niwe na na hii linux na hii nayotumia sasa nimekwama hapa wadau sijui cha kufanya

baada ya kumaliza stages za mwanzoni, niliclick hapa

lin.jpg

then ikanileta kwenye stage hii


Screenshot from 2014-01-16 16_08_51.png

Nimefika hapa na ndo nlipokwamia nifanyeje ili nisije nikafuta ka-windows kangu?

Shukrani......
 
nashukuruni sana wadau! nimetumia njia ya kuboot kwa kutumia flash! nimefika sehemu flan hivi ndo nikagomea hapo coz nlikuwa sijui cha kufanya nliogopa ku-overwrite hii windows iliyopo saivi! nataka hii windows nayotumia iwepo vile vile manake niwe na na hii linux na hii nayotumia sasa nimekwama hapa wadau sijui cha kufanya

baada ya kumaliza stages za mwanzoni, niliclick hapa

View attachment 132681

then ikanileta kwenye stage hii


View attachment 132680

Nimefika hapa na ndo nlipokwamia nifanyeje ili nisije nikafuta ka-windows kangu?

Shukrani......

Achana na hiyo, kuinstall Linux kikamilifu pamoja na windows itabidi utengeneze partition yake tofauti, sikushauri kwa kuanza kuchezea partitions, hasa kama haujabackup data zote. Install ndani ya Windows kama nilivyoeleza hapo juu.
 
ile option ya kuinstall alongside windows haijatokea hapo sababu inaoneka hard disk yako Ina partition nyingi hivyo huwez partition zaidi, nakushauri ufute partition mojawapo Kisha ndio uboot disk yako na ile option ya Ku install alongside windows itatokea ambayo Ni simple sana na stable
 
Back
Top Bottom