Habari, ni matumain yangu mmeamka salama na wazima wa afya, nilikuwa naomba kujuzwa jinsi ya kuambatanisha hoja yako na picha. Kuattachment kunanisumbua sana.
Nenda kweny option ya replay then angalia kwa chini sign ya frame ya pic then nenda library choose your pic then apload that it
Note
Lkn inategemea na aina ya mobile unayo tumia
Habari, ni matumain yangu mmeamka salama na wazima wa afya, nilikuwa naomba kujuzwa jinsi ya kuambatanisha hoja yako na picha. Kuattachment kunanisumbua sana.
Nenda kweny option ya replay then angalia kwa chini sign ya frame ya pic then nenda library choose your pic then apload that it
Note
Lkn inategemea na aina ya mobile unayo tumia