Msaada Jinsi ya ku activate PC iweze kutumia Laini ya simu

Msaada Jinsi ya ku activate PC iweze kutumia Laini ya simu

Srebrina

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2012
Posts
963
Reaction score
437
Habari za kazi wakuu nategemea mko wazima wa afya na heri ya skukuu, baada ya muda mrefu kutumia PC zenye slot ya SIM CARD bila kuwa na WWAN adapter juzi nilifanikiwa kupata new pc yenye iyo port pia ile adapter ipo, sasa kataka windows drivers zilikuwa zimemiss nika update ikasoma ila likaja tatizo jingine ni kuwa ilikuwa inaandika activation is not set ivyo nika google nikaambiwa nidownload mobile broadband activator nikafanya ivo lakini iyo activator iligoma kabisa kwangu kuingia, sasa tatizo jingine mimi ni mtumiaji wa linux ilivogoma nikarudi linux nikakuta device inasoma ila inaomba ku activate na ku activate kwa linux ndio sijui ivo naomba msaada wakuu PC yangu ni Lenovo ThinkPad x131e na ninatumia kali linux 2019.3
 
Habari za kazi wakuu nategemea mko wazima wa afya na heri ya skukuu, baada ya muda mrefu kutumia PC zenye slot ya SIM CARD bila kuwa na WWAN adapter juzi nilifanikiwa kupata new pc yenye iyo port pia ile adapter ipo, sasa kataka windows drivers zilikuwa zimemiss nika update ikasoma ila likaja tatizo jingine ni kuwa ilikuwa inaandika activation is not set ivyo nika google nikaambiwa nidownload mobile broadband activator nikafanya ivo lakini iyo activator iligoma kabisa kwangu kuingia, sasa tatizo jingine mimi ni mtumiaji wa linux ilivogoma nikarudi linux nikakuta device inasoma ila inaomba ku activate na ku activate kwa linux ndio sijui ivo naomba msaada wakuu PC yangu ni Lenovo ThinkPad x131e na ninatumia kali linux 2019.3
Screenshot hiyo prompt kwenye network panel ili tuone tunavyoweza kutatua.
 
1577396229256.png
1577396229256.png
 
1577397510460.png


na nikijaribu ku activate app inakataa
 
View attachment 1304039

na nikijaribu ku activate app inakataa
hii laptop inatumia carrier ya Verizon ambayo ni locked yaani ili uitumie lazima uianlock, hapo ndo unaactivate sio kwa kuinstall hiyo mobile broadband tu, kwani hiyo ni hatua nyingine ambayo umemaliza.
Nenda verison site register ingiza no yako ya simu Kisha fuata maelekezo.
Ukiona shida Basi nunua modem za Huawei ni nzuri sana
 
Back
Top Bottom