YAKUBI
Member
- Jun 23, 2020
- 20
- 2
Hivi mtu mwenye four ya 26 alafu ana hisC geogC engC kiswC civD biosF alf math hakufany physics hakufany na kemia ila alijisajiri vipi anaweza kwenda advance?
Na je cheti chake watamuandikia vipi kwa hayo masomo ambayo hakufanya na je hakiwezi kumsumbua wakati wa ku apply ajira badaye
Asante.
Na je cheti chake watamuandikia vipi kwa hayo masomo ambayo hakufanya na je hakiwezi kumsumbua wakati wa ku apply ajira badaye
Asante.