Kibamia ni nini?
![]()
KIBAMIA: Ikiwa moja afu ndogo kama hiyo ndo inaitwa hivoo
![]()
hapo zikiwa mbichi
![]()
kwetu tukupika zinakua hivi
Ubarikiwe kwa kumpa jibu stahiki na thread ifungwe rasmi.
kwa hiyo wanavyosema baadhi ya wanawake wanavibamia wanamaanisha nn?
kwa hiyo wanavyosema baadhi ya wanawake wanavibamia wanamaanisha nn?
Mie mwenyeweMie ndio ninasikia kwako hilo la wanawake wenye vibamia,unamaanisha nini??
Wanawake wana vibamia?????? ndo mara ya kwanza nasikiakwa hiyo wanavyosema baadhi ya wanawake wanavibamia wanamaanisha nn?
Mbona jibu umeliandika tayari... Kibamia ni nini tu, na wala si kitu kingineKibamia ni nini?