ushawahi kupima ufanyajikazi wa ini lako? najaribu kufikiria kuwa huenda uwezo wa ini kufanya detoxification umepungua...
Kwani ni lazima kunywa mkuu, nadhani imetosha sasa, ni ishara za Mungu au za mwili tu kuwa sasa basi, tumia vitu vingine kama Malta au chai
Sijawahi kupima ini mkuu,je kuna dalili nuingine ya ini kutofanya kaz vzr mbali na hii??
Ukiona hivyo ujue ni sgnal/alarm inakuonyesha kuwa Hiyo pombe haikufai..
Yaaani acha kabisa