Msaada Jamani!

Msaada Jamani!

kwetukijijini

Member
Joined
May 20, 2018
Posts
37
Reaction score
26
Msaada wa kisheria jamani! Ninamkopo Bayport lakini NMB wapo ridhaa kunilipia mkopo huo, chakushangaza Bayport wanagoma kunipa barua ya balance yangu kwa kunidanganya danganya mara njoo kesho lakini ni miezi miwili sasa. Nifanyaje Jamani!
 
Fuatilia ukijichelewesha riba inaongezeka
 
Hapo unaweza fanya mambo yafuatayo:

i) Kuandika Demand Notice/Letter kwenda kwa Bayport ambayo ndani yake utaandika yafuatayo

a) Kumuamuru wakupe balance yako ndani ya muda utakaoutaja wewe (siku 7 au 14).

b) Uwape notification ya agenda ya kuwashitaki endapo siku tajwa hapo zitapita bila wao kukupa balance.

c) Uambatanishe vipengele vya mkataba/sheria vinavyokupa ruhusa ya 3rd party kulipa deni.

ii) Endapo hawatofanya kama ulivyowaelekeza kwenye demand letter basi nenda mahakamani.
 
Back
Top Bottom