Na wewe huiumpenda huyo mwanamke, ndio maana umekimbilia kuoa nyumba ndogo yako faster. Kwa maana nyingine, tayari ulikuwa na mwanamke unayempenda zaidi ya mkeo.
Maamuzi yapo kichwani mwako kama unampenda msamehe kutoroka kitu gani, wengine wanatorokwa baadae wanakutana mwanamke ana mtoto wa mwanaume mwingine lakini wanasamehe wanarudiana na maisha yanasonga. Moyo wako unaonesha unampenda sana hivyo ukichukua mrembo mpya utajiumiza moyo zaidi kuliko ukimrudia huyo alietoroka. Cha msingi hapo kupima HIV.
Hakunagga replacement ya mpenzi jamani,, wa zamani ni mkali na ana haiba ya uanamke sana,, kila m1 humu akimuona lazima acmamishe mnara hata km dem mwenzie, nilikua najidaia sn asee
Hakunagga replacement ya mpenzi jamani,, wa zamani ni mkali na ana haiba ya uanamke sana,, kila m1 humu akimuona lazima acmamishe mnara hata km dem mwenzie, nilikua najidaia sn asee
unajitahid kutokuelewa wakati hsli halisi unaiona kama familua yenyewe ipo hivyo akikuudhi utamshtaki kwa nan?huyo mwanamke anashida hutakaa uendelee ukimuendekeza
Maamuzi yapo kichwani mwako kama unampenda msamehe kutoroka kitu gani, wengine wanatorokwa baadae wanakutana mwanamke ana mtoto wa mwanaume mwingine lakini wanasamehe wanarudiana na maisha yanasonga. Moyo wako unaonesha unampenda sana hivyo ukichukua mrembo mpya utajiumiza moyo zaidi kuliko ukimrudia huyo alietoroka. Cha msingi hapo kupima HIV.
Mwalimu alikuja baada ya kutendwa jamani kupitia Zaburi 27.<br>alikuja km miujiza hadi nikaogopa nikajua katumwa kunichunguza na kuijia vitu na nguo za aliyentoroka bt nkaproove failure