Kichwa kinaniuma dah!!!Hivi kwani nyi hamjui kusoma??????someni Katika biblia mwanzo hadi mwisho sijaona kuna dini inatajwa ikiitwa USABATO wala UROMA,wala Yesu hajawahi zitamka dini zenu zote zilianzishwa na watu kama nyie....mpeni Yesu maisha mfunge ndoa.