Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 921
Jamani habarini wapendwa ni hivi juzi Kati hapo nilinunua multimeter aina ya siltron DT 9205A Sasa ninapashida wakati wakupima kiasi cha umeme kutokana na kwamba inaleta short pindi nianzapo kupima nimejaribu kwanza kwenye port ya 20A kwakuwa nimehisi kuwa umeme wa nyumbani huwa unarange 200mA nakuendelea so nikaona nitumie port ya 20A pia nimetembelea YouTube pia naye katumia port hiyohiyo ko naomba kwa mwenye uzoefu na hi multimeter anisaidie coz nimesita hata kuweka kwa port ya 20mA
