mafoleni
JF-Expert Member
- Nov 18, 2016
- 220
- 371
Nianze moja kwa moja kwenye mada husika.
Ninaishi na mwanamke na tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kike. Tumejenga nyumba moja wakati tunaishi nae bila ndoa Ila mimi na huyu mama watoto wangu tumetofautiana kiimani yan yeye muisilam na Mimi ni mkristo nilijitahid sana kufatilia abadili dini lakini ikashindikana.
Sasa mi naona kuishi maisha haya bila kuoana miaka yote ni kitu ambacho kimenishinda ikabidi nimueleze kuwa huu ni wakati wangu wa kuwa na ndoa, na wewe kwa upande wako imeshindikana.
Nilivyomuambia hivyo akahamaki na kuamua kuondoka nyumbani na kwenda kwa dada ake: nimemfuata anakataa kurudi anataka tuuze nyumba ili tugawane ingali Mimi sikumfukuza nyumbani ila nimemwambia nataka ndoa na yeye hawezi kubadili dini.
Vipi kwa upande wa sheria kuhusu mgao kama mwanamke anaamua kuondoka mwenyewe nyumbani?
IKUMBUKWE KUWA HATUKUFUNGA NDOA. ila tumeishi kwa miaka 4.
Ninaishi na mwanamke na tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kike. Tumejenga nyumba moja wakati tunaishi nae bila ndoa Ila mimi na huyu mama watoto wangu tumetofautiana kiimani yan yeye muisilam na Mimi ni mkristo nilijitahid sana kufatilia abadili dini lakini ikashindikana.
Sasa mi naona kuishi maisha haya bila kuoana miaka yote ni kitu ambacho kimenishinda ikabidi nimueleze kuwa huu ni wakati wangu wa kuwa na ndoa, na wewe kwa upande wako imeshindikana.
Nilivyomuambia hivyo akahamaki na kuamua kuondoka nyumbani na kwenda kwa dada ake: nimemfuata anakataa kurudi anataka tuuze nyumba ili tugawane ingali Mimi sikumfukuza nyumbani ila nimemwambia nataka ndoa na yeye hawezi kubadili dini.
Vipi kwa upande wa sheria kuhusu mgao kama mwanamke anaamua kuondoka mwenyewe nyumbani?
IKUMBUKWE KUWA HATUKUFUNGA NDOA. ila tumeishi kwa miaka 4.