msaada jamani gpa nacte

mjuniour

Senior Member
Joined
Sep 22, 2015
Posts
130
Reaction score
37
naomba msaada wenu mimi nimemaliza nta level 6 mwaka huu 2015 na nimepata gpa ya 3.0 shida yangu kwenye profile ile sehemu ya kuonyesha gpa inaonekana 3.5 lakini kuna wengine wanasema zao ziko vile vile je hapo amna tatizo kweli maana ata chuo sijapata na je nikipata nikienda kuripoti chuoni haiwezi kuwa shida
 
Nenda nacte wakakubadilishie

nashukuru kwa ushauri wako tatizo niko nje ya dar na ata nikipa simu azipatikani au gpa zikienda nacte zinaongezeka au chuo ndio wameamua kuniongezea mkuu
 
ondoa shaka ndugu yangu matokeo yaliyopelekwa na chuo ndio yene gpa sahih ,hyo ya kwene scrpts yako ndo yene matatzo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…